Taswira za mahafali ya cabin crew ya wafanyakazi wa Air Tanzania iliyofanyika katika ukumbi wa Golden Jubilee Pension Tower jijini Dar es salaam hivi karibuni.
 Afisa Mtendazi Mkuu wa  Air Tanzania Capt. Lazaro akiongea na wafanyakazi
 Sehemu ya wafanyakazi wa Air Tanzania
 Mkurugenzi wa Operations Capt. Shaidi akiongea machache
 Mmoja wa wahitimu akipatiwa cheti cha kufuzu
Picha ya pamoja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Yale yale. Watumishi wengi ndege hakuna!!!!

    ReplyDelete
  2. Majanga.... Tundege chenyewe kipo kimoja.

    ReplyDelete
  3. Mbona tuna ndege nyingi; wafanyakazi wachache?

    ReplyDelete
  4. Hongereni sn na mjekua na uzalendo na shirika lenu la taifa,,maana hii ni AIBU KUBWA Tanzania kutokua na ndege,,mm nataka kuona ndege zetu za AIR TANZANIA ZINAFIKA HUKU UINGEREZA NILIKO,,naita the mdudu Kaka K

    ReplyDelete
  5. Nimejitahidi kuisoma hii habari lakini sijaielewa, maana sina kumbukumbu kama nyumbani tuna shirika hai la ndege lenye cabin crew

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...