Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia washiriki wa Tamasha la 11 la Asasi za Kiraia, wakati alipokuwa akifungua rasmi Tamasha hilo katika Ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam, leo.
Rais wa Asasi za Kiraia, John Ulanga, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Tamasha, hilo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...