Asanteni kwa wote mlioshiriki katika shindano la MPENDEKEZE ASHINDE vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni Tano. 

Jopo la majaji lilikutana na kuchagua kwa umakini kabisa watano bora. Hatua ya uhakiki imeanza tutawaomba kuwapigia kura hapa hapa mtandaoni watano bora ili kumpata mshindi ambaye atakuwa Mama Shujaa wa Chakula Mtandaoni kwa mwaka 2013. 

Fahamu zaidi kuhusu Grow kwa kutembelea https://www.facebook.com/GrowTanzania

Tazama video hii kufahamu sababu za Masoud Kipanya kuiunga mkono kampeni ya chakula ya GROW.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...