Wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania, UN, Geneva, wamfanyia sherehe fupi ya kumuaga Bw. Lucas Saronga na familia yake, ambaye anatarajia kurejea nchini hivi karibuni kuchukua madaraka yake mapya ya ukurugenzi katika Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko.
Picha ya pamoja kati ya familia ya Bw. Lucas Saronga (aliyeshika bega mtoto) na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania, UN, Geneva.Wa tatu kulia ni Balozi wa Tanzania,UN, Geneva,Mh. Modest Jonathan Mero

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nafikiri anaitwa Joseph Saronga siyo Lucas Saronga. hongera sana!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...