Mhe Freeman Mbowe akimpa pole Mke wa Marehemu Albertha Zamberi, aliyevaa shati ya kitenge pembeni yake ni Kijana Mkubwa wa Marehemu Ndugu Emanuel Ngobai.
Mhe Freeman Mbowe akibadilishana mawazo na kupata maelezo kutoka kwa kijana Mkubwa wa Marehemu Mzee Zamberi Ngobai Mwisarya anayeitwa Emmanuel Ngobai.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...