Naibu katibu mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi la Kimataifa la IndustriALL,Fernando Lopez akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, wakati wa uzinduzi wa mradi wa mawasiliano  wa Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda,Biashara,Taasisi za Fedha,Huduma na Ushauri(Tuico) kwa ajili kutoa elimu kwa watendaji wa chama hicho nchini,Mradi huo umegharimu dola za Kikanada zaidi ya laki 3.
Kulia ni katibu wa Tuico,Boniface Nkakatisi na mratibu wa miradi wa IndustriALL,Suzana Miller.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...