Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na baadhi ya wanafunzi wa shule mbali mbali za msingi katika Kata ya Kigamboni jijini Dar es Salaam,wakati wa kuwakabidhi madawati 100,yaliyotolewa na Diwani wa Kata hiyo,Mh. Dotto Msawa.Wakati huo huo pia Mh. Lowassa ameahidi kuwaongezea wanafunzi hao idadi ya madawati mengine 100.
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbali mbali za msingi katika Kata ya Kigamboni jijini Dar es Salaam wakiwa wameketi kwenye madawati hayo mara baada ya kukabidhiwa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh. Edward Lowassa akipata maelezo kutoka kwa wakinamama wajasiliamali wa Kikundi cha Vikoba Kata ya Kigamboni.Kushoto ni Mwenyeji wake ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kigamboni,Mh. Dotto Msawa.Mh. Lowassa ameahidi kukisaidia kikundi hicho sh. Mil 10 kwa ajili ya maendeleo ya kikundi hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...