Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akimfariji  Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula  wakati alipokwenda nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es salaam   kumpa pole kufuatia kifo cha  mwanae, Peter Philip Mangula kilichotokea   Novemba 26, kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Picha  na Ofisi ya Waziri Mkuu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Mungu wangu(OMG)!!Pole sana mzee Mangula.Ni majuzi tu umepoteza binti mdogo kwenye ajali ya gari.Poleni sana familia ya Mangula kwa ujumla

    David V

    ReplyDelete
  2. Maskini baba wa Watu .duh Yaani mwaka Mmoja kupoteza watoto 2 .Pole mzee

    ReplyDelete
  3. Mwenyezi Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu. Bwana litoa Bwana ametwaa Juna lake lihimidiwe. Amen.

    ReplyDelete
  4. Pole sana Mzee wetu Mangula kwa kupotelewa na watoto wawili kwa mpigo.

    Mwenyezi Mungu akupe ustahmilivu uweze kuhimili mtihani huu mkubwa.

    ReplyDelete
  5. Pole sana Mzee Mangula. RIP Peter.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...