Home
Unlabelled
MTINDO MPYA WAUWEKAJI MAFUTA KWENYE BAJAJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Je kuna mdau anayejua kwanini wanafanya hivyo?
ReplyDeleteHapo ndio pale mfano wa mtu mlafi anayekula hdi anapiga mbwewe!
ReplyDeleteMwisho tanki litapasuka !!!
Pana Hekay moja (Hadithi) jamaa alienda Kijijini kwao.
alipofika tu ikawa hivi:
1.Alimkuta Babu ametoka shamba kulima ameandaliwa Viazi vitamu vya kuchemsha na Maziwa ya mgando, jamaa akakaa na babu akafyeka ile anamaliza,,,
2.Ile ana maliza Mjomba wake amewasili kutoka kupakua asali Porini na mabuyu kadhaa ya asali jamaa hakujivunga akalamba asali vibuyu kadhaa,,, ile anamaliza
3.Baba yake anatokea Kuwinda porini huku akiwa na nyama za porini zilizobanikwa,,,jamaa akafyeka minofu kama hana akili.
Matokeo yake AKAVIMBIWA!
HUO NDIO UJAZAJI MAFUTA WA MWENYE BAJAJ ANAKUWA NI KAMA JAMAA ALEYEENDA KIJIJINI AKAFAKAMIA KARAMU YA ULAJI HADI 'BAJAJ' IKAWA 'BAJAZA'!!!