NAIBU Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba, akimkabidhi cheti Mwenyekiti wa CCM, Kata ya Kawe, Athumani H. Athumani, alipofunga semina ya Wenyeviti wa CCM kutoka kata 31 za wilaya ya Kinondoni, mjini Dar es Salaam, leo Novemba 7, 2013 mjini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge na wengine kutoka watatu kushoto ni, Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Abilah Mihewa, Mbunge wa Viti Maalum, Zarina Madabida na Katibu Mwenezi Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Juma Simba. (Picha na Bashir Nkoromo)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...