Kampeni ya Kili Nani Mtani Jembe inaendelea kuunguruma, mashabiki wa
Simba na Yanga katika maeneo mbalimbali Tanzania wanachuana vikali
kuhakikisha timu zao zinaibuka na kitita cha shilingi milioni mia moja
Taslimu!!..
Kilimanjaro Premium Lager inawakaribisha kushuhudia Bonanza kubwa la
aina yake Jumapili hii tarehe 17 November 2013!, Mashabiki wa Simba na
Yanga katika miji ya Tunduma na Morogoro watashindana katika michezo
mbalimbali kama vile;
Foos Ball!!
Kuvutana kamba!!.
Soka la wachezaji saba kila upande aka “Seven aside” nk,
Nyama Choma na Burudani nyingine nyingi zitakuwepo…
Pale katika Mji wa Tunduma; Bonanza la Kili Nani Mtani Jembe
litafanyika katika uwanja wa Mwaka!!. Kutumbuiza jukwaani watakuwepo
High Class Band…. aka Wazee wa Mjini!.
Na kule Mjini Morogoro – Mji Kasoro Bahari; Bonanza la Kili Nani Mtani
Jembe litafanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi “Kiwanja cha
Ndege”!!. Jukwaani watatumbuiza…The Bikon Sound!.. aka Wazee wa
Pamba!.
Bonanza za Kili Nani Mtani jembe Tunduma na Morogoro zitafanyika
Jumapili hii tarehe 17 November!, kuanzia saa nne asubuhi, Hakuna
kiingilio na wote mnakaribishwa!.
Je wewe ni shabiki wa Simba au Yanga???!!! Njoo usaidie timu yako
kuibuka na mkwanja huu mnene wa Kampeni ya Kili Nani Mtani Jembe!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...