Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha Sukari-ILOVO, Mark Bainbridge (kulia) akipokea sehemu ya vifaa vya michezo kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Mashariki Bw. Nazareth Lebbi. Vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni 7 na laki 5 vimetolewa na NMB kwa ajili ya bonanza ya ujirani mwema kwa taasisi zilizopo Kidatu- Kilombero. Wakishuhudia kutoka kulia ni Meneja Utumishi-ILOVO Bw. Beda Marwa, Meneja wa tawi la NMB Kilombero, Bw.Henry Shadolo pamoja na ofisa kutoka ILOVO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...