wakati wa warsha ya viongozi wa vyama vya ushirika na uongozi mfuko
huo iliyoandaliwa na kampuni ya BUMACO.
Afisa utekelezaji wa NSSF mkoa wa Kilimanjaro Daudi Mwangole
akizungumza na viongozi wa vyama vya ushirika(hawako pichani) wakati
wa warsha hiyo.
akizungumza na viongozi wa vyama vya ushirika(hawako pichani) wakati
wa warsha hiyo.
Viongozi wa vyama vya Ushirika mkoa wa Kilimanjaro wakifuatilia maelzo
yaliyokuwa yakitolewa na maofisa wa mfuko wa hifadhi ya jamii mkoa wa
Kilimanjaro NSSF pamoja na maofisa wa kampuni ya BUMACO ambao ndio
waliandaa warsha hiyo. Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.
yaliyokuwa yakitolewa na maofisa wa mfuko wa hifadhi ya jamii mkoa wa
Kilimanjaro NSSF pamoja na maofisa wa kampuni ya BUMACO ambao ndio
waliandaa warsha hiyo. Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...