Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki Bw. John Ulanga, akisoma hotuba yake wakati wa mahafali ya 11 ya Chuo hicho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Prof. Paschalis Rugarabamu, akisoma majina ya wanafunzi bora wakati wa mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
Prof. Pauline Mella akiongoza maandamano ya wanataaluma kuingia ukumbini i wakati wa mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...