Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki Bw. John Ulanga, akisoma hotuba yake wakati wa mahafali ya 11 ya Chuo hicho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Prof. Paschalis Rugarabamu, akisoma majina ya wanafunzi bora wakati wa mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki 

Prof. Pauline Mella akiongoza maandamano ya wanataaluma kuingia ukumbini i wakati wa mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...