Mery Kanyaga, akimpongeza binti yake, Shelder Boniface ambaye ni mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20 ‘The Tanzanite’ muda mfupi baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo, wakitokea Msumbiji katika mechi ya marudiano ya kufuzu fainali za Dunia za wanawake ambako Tanzanite iliichapa Msumbiji mabao 5-1 huku Shelda akitupia matatu kati ya hayo. 
 Wachezaji wa timu ya taifa ya wananwake chini ya umri wa miaka 20 'Tanzanite' wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakitokea Msumbiji katika mchezo wa kufuzu fainali za kombe la Dunia la wanawake dhidi ya Msumbiji, ambako Tanzania ilishinda 5-1.
Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20 ‘The Tanzanite’ wakiwasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, wakitokea Msumbiji katika mechi ya marudiano ya kufuzu fainali za Dunia za wanawake ambako Tanzanite iliichapa Msumbiji mabao 5-1. 




TANZANITE TEAM WANAKULA JARAMBA KABLA YA MTANANGE NA TIMU YA MOZAMBIQUE U-20 UWANJA WA ZIMPETO MAPUTO



TOKA KULIA BW. WILFRED KIDAO MKUU WA MSAFARA WA TANZANITE TEAM NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA TFF, MHE. BALOZI SHAMIM NYANDUGA NA MWAMBATA JESHI KANAL LWIMBO WAKIWA KATIKA HAFLA FUPI MAKAZI YA MHE. BALOZI.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Watanzania...lets not support losers...hawa ndio wa-kuwasupport...Winners and at a young Age!! Lets go.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...