Kaimu Mkurugenzi Mkuu toka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Dkt. Hamza Kabelwa akionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) cheti cha utambuzi walichopokea kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Mamlaka ya Usafiri Baharini(ZMA) kutokana na kuutambua mchango wao katika usafiri wa Baharini.Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bi. Georgina Misama.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu toka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Dkt. Hamza Kabelwa akionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) ramani ya Mwelekeo wa msimu wa  mvua za October hadi December 2013,ambapo rangi ya njano katika picha inaashiria mvua za wastani na rangi ya kijani inaashiria mvua za chini ya wastani. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Mamlaka hiyo Bi.Monica Shayo
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu toka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Dkt. Hamza Kabelwa akieleza kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) mikakati ya Serikali katika kuendeleza huduma za hali ya hewa katika sekta ya usafiri wa baharini,Visiwani Zanzibar na katika maziwa nchini,wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Mamlaka hiyo Bi.Monica Shayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...