Mgeni Rasmi katika Maonyesho ya Mavazi ya Usiku wa Khanga za Kale,Mke wa Makamu wa Rais,Mama Aisha Bilal akizungumza machache wakati wa shughuli hiyo iliyofanyika usiku huu kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Serena,Jijin Dar es Salaam.Usiku wa Khanga za Kale ni siku pekee ya Kuonyesha Mavazi yaliyobuniwa kwa kutumia Khanga,yanayoandaliwa kila Mwaka na Mbunifu wa Miaka mingi,Mamaa wa Mitindo Asia Idarous.
 Mgeni Rasmi katika Maonyesho ya Mavazi ya Usiku wa Khanga za Kale,Mke wa Makamu wa Rais,Mama Aisha Bilal (kulia) akipokea zawadi ya Sahani iliyochorwa jina lake,kutoka kwa Muandaaji wa Maonyesho hayo ya Usiku wa Khanga za Kale,Mama Asia Idarous.
Bibi Bomba akifanya yake stejini.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...