Mhe, Shinzo Abe Waziri Mkuu wa Japan akiongea na Mhe Abdulkarim Shah Mbunge wa Mafia ambae pia ni mjumbe wa kamati ya utendaji na Mweka Hazina Mkuu wa UMOJA WA WABUNGE MASKAUTI DUNIANI (World Scout Parliamentary Union (WSPU), nyumbani kwa Waziri Mkuu huyo  Shinjuku, Tokyo,  Japan. Katikati ni Mhe Kulthum Mchuchuli (MB) na Bw James Warburg (mwenye pama) ambae ni Katibu wa Umoja wa Wabunge Maskauti Bunge la Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania. Picha kwa hisani ya  Ofisi ya Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...