Mkulima wa mbogamboga Bw. Kilalile Shamte akitoa elimu ya lishe bora kwa Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu kuhusu umuhimu wa kula mboga za majani katika mlo wa kila siku. Wakati wa maonesho ya wakulima wadogo yaliyofanyika katika viwanja vya hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yalikuwa na lengo la kujenga soko kwa wakulima wadogo na kuchochea ulaji wa lishe bora kwa Watanzania. Maonesho hayo yalidhaminiwa na Vodacom.
Mkulima wa mbogamboga Bw. Kilalile Shamte, akitoa elimu ya lishe bora kwa baadhi ya Wateja waliojitokeza katika maonesho ya Wakulima wadogo wadogo yaliyokuwa na lengo la kutafuta soko kwa wakulima hao na kuchochea ulaji wa lishe bora kwa Watanzania. Pamoja nao katika picha ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu ambao ndio wadhamini wa maonesho hayo.
Mkulima wa Matunda Bw. Asagwile Mwakilasa akitoa elimu ya lishe bora kwa baadhi ya Wateja waliojitokeza katika maonesho ya Wakulima wadogo wadogo yaliyokuwa na lengo la kutafuta soko kwa wakulima hao na kuchochea ulaji wa lishe bora kwa Watanzania. Pamoja nao katika picha ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu ambao ndio wadhamini wa maonesho hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...