Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua mradi wa maji wa Moivaro na Mlangirini wilayani Arumeru akiwa katika ziara ya siku moja wilayani humo Novemba 19, 2013. Kushoto ni mkewe Mama Tunu Pinda.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wazee kabla ya kuzindua mradi wa maji wa Moivaro na Mlangirini wilaya Arumeru akiwa katika ziara ya siku moja wilayani humo Novemba 19, 2013. . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...