Ankal (kati) akiwa amekula pozi na baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Simu ya Vodacom idara ya Wateja wa Mikataba (Business Enterprise Unit) wakati alipofika kuwasabahi.toka shoto ni Edna Mtema, Somoe Wamala, Asteria Mallya,Bakari Kunenge, Happy Shuma pamoja na Nureen Nyagiro.
Ankal (pili kulia) na Wadau wa Vodacom idara ya Wateja wa Mikataba (Business Enterprise Unit).toka shoto ni Dia Missana, Stima, Ankal na Simon Martin
Mjomba Michuzi,
ReplyDeleteSio tu uwatembelee ofisini kwao Vodacom na kupewa chai na soda tu, wamaambie na wewe wakuingize ktk Droo na wewe Ukombe mabunda yako ya Noti !!!
Ni Bakari Kamenge sio Kunenge
ReplyDeleteDuh! baada ya kutoka Sauzi siku hizi Ankal anashuka na Mandelasuit sehemu zote sijui ze fulazzzz kaitupa ma vipi?
ReplyDelete- Mr Mhoja - Sweden