Bwana. Michael Hailu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kilimo na Maendeleo Vijijini ya nchi za Afrika, Karibiani, Pacific na Jumuiya ya Ulaya (katikati) akimweleza Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala ( kulia) mipango mbalimbali ya kusaidia maendeleo ya kilimo katika nchi za Afrika, Karibiani na Pacific inayotekelezwa na taasisi yake. Bwana. Hailu alimtembelea Balozi Kamala leo ofisini kwake Brussels, Ubelgiji na kumuomba asaidie taasisi hiyo atakapokuwa mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa nchi za Afrika, Karibiani na Pacific kuanzia tarehe 1, Februari 2014.
Home
Unlabelled
MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA KILIMO NA MAENDELEO VIJIJINI YA NCHI ZA AFRIKA, KARIBIANI NA PACIFIC AMTEMBELEA BALOZI KAMALA OFISINI KWAKE BRUSSELS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...