Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akizungumza na Viongozi wa Wanafunzi wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Ghent waliofika ofisini kwake leo Brussels kumweleza changamoto mbalimbali zinazowakabili na kumuomba awasaidie kuzungumza na Mabalozi wa nchi za Afrika, Karibiani na Pacific ili kutafuta ufumbuzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kama ni wanafunzi wa Tanzania wanataka Balozi aongee na hizo nchi nyingine ili iweje? Sijaelewa kitu labda mfafanue.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...