Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akipokea zawadi kutoka kwa Bwana Joachim Coens Rais wa Bandari ya Zeebrugge. Uongozi wa Bandari ya Zeebrugge umekubali kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji kuweka mikakati mbalimbali ya kuongeza biashara kati ya Tanzania, Ubelgiji na Jumuiya ya Ulaya. Balozi Kamala yuko kwenye ziara ya kutembelea Bandari za Ubelgiji.
Home
Unlabelled
BALOZI KAMALA ATEMBELEA BANDARI YA ZEEBRUGGE YA UBELGIJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...