MRATIBU
wa Kambi ya siku tatu ya huduma za meno bure zitazotolewa Zanzibar kuanzia
disemba 5-7, Ali Jivraji (katikati) akitoa maelezo ya Kambi hiyo kwa Waandishi
wa Habari wa vyombo mbali mbali (hawapo pichani) katika Hoteli ya Beit al
Salaam iliyopo Shangani mjini Zanzibar, kulia Mkurugenzi mauzo wa Hoteli ya Doubletree ya Dar es Salaam,
Florenso Kirambata ambao ni wadhamini wa kambi hiyo na Mkurugenzi wa Zanzibar Help Foundation Dk. Feroz Jafferji.(
MKURUGENZI Mauzo wa
Hoteli ya Doubletree ya Dar es Salaam, Florenso
Kirambata ambao ni wadhamini wa kambi ya siku tatu ya huduma za meno bure
inayotegemewa kuanza tarehe 5-7 mwezi huu akitoa ufafanuzi kwa Waandishi wa
habari (hawapo pichani) wakati wakiitangaza kambi hiyo, kulia kwake Mratibu wa
kambi hiyo, Ali Jivraji na Mkurugenzi wa
Zanzibar Help Foundation, Dk. Feroz Jafferji. Mkutano huo ulifanyika katika
Hoteli ya Beit al Salaam iliyopo Shangani mjini Zanzibar.
Picha zote na Haroub
Hussein).


.jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...