Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akikagua Mradi wa ujenzi maji safi wa Izumbwe ,Iwindi  unaojumuisha vijiji nane ambavyo ni Shongo,Igale,Horongo,Itimu,Mwampalala,Izunbwe,Iwindi na Mwashiwala,Mradi huo umejengwa katika kijiji hicho kufuati vijiji hivyo kukosa maji safi kwa muda mrefu.Mradi huo unatekelezwa chini ya programu ya Taifa ya usambazaji wa maji safi vijijini na usafi wa binafsi na mazingira na ulianza rasmi septemba 2013 na ulitarajiwa kukamilika mnamo Mei,2014.

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na baadhi ya wanachama wa CCM,wakishiriki ujenzi wa  Zahanati katika kijiji cha Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya mapema leo.
 Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt.Asharose Migiroakishiriki ujenzi wa  Zahanati katika kijiji cha Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya mapema leo.
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Mh Abbas Kandoro sambamba na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya mjini,Mh.Norman Sigala pichani shoto wakishiriki ujenzi wa  Zahanati katika kijiji cha Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya 
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Mh Abbas Kandoro na Wajumbe wengine wakitoka kushiriki na kukagua mradi wa ujenzi wa zahanati ya Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya

Pichani ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na Ujumbe wake wakifanya mkutano na Wajumbe Halmashauri kuu ya CCM wilaya katika ukumbi wa Chuo cha Ufundi Mbalizi,wilaya ya Mbeya Vijijini mkoani Mbeya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Michigan...Amerika inafurahi sana!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Mbalizi hapo hakuna maji kabisa lakini vyanzo vya maji vipo hasa chemichemi za mto fwizimu. Kinana na timu yako + Dr Norman tunnaomba mlishughulikie hilo before 2015. Huyo mbunge wa sasa ni mzigo kwa wapiga kura wake

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...