Daktari bingwa kutoka China Sun Kewen akimfanyia uchunguzi wa maradhi ya tumbo na koo mgonjwa mmoja kwa kutumia mashine ya kisasa (Endoscope) iliyofayiwa majaribio katika Hospitali kuu ya Mnazimmoja leo.
Daktari Wang Lei akiangali sehemu ya ndani ya tumbo la mfanyakazi wa Hospitali ya Mnazimmoja kwa kutumia mashine ya (Endoscope) ambayo imeanza kufanyiwa marajabio rasmi katika Hospitali hiyo. Kushoto ni muuguzi Halima Habib Abdalla anaefuatilia kwa karibu majario ya mashine hiyo.
Dkt. Sun Kewen na Dkt Wang Lei wakionyeshana Lei matokeo ya uchunguzi wa mgonjwa Halima Habib aliefanyiwa uchunguzi wa tumbo kwa kutumia mashine ya (Endoscope).
Dk. Wang Lei akitoa maelezo ya namna mashine ya (Endoscope) inavyofanyakazi na kutoa matokeo ya uhakika matatizo ya mgonjwa kwa muda mfupi. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Jamani tujifunge vibwebwe,naona bado tupo nyuma sana katika ujuzi wa uangalizi wa wagonjwa.Hii kitu babu mpya kwetu kumbe huku UKerewe endoscopy is now performed by trained nurses as an out-patient procedure.

    ReplyDelete


  2. Effectiveness of nurse delivered endoscopy: findings from randomised multi-institution nurse endoscopy trial (MINuET)



    BMJ 2009; 338 doi: http://dx.doi.org/10.1136/bmj.b231 (Published 10 February 2009)
    Cite this as: BMJ 2009;338:b231


    Abstract

    Objective To compare the clinical effectiveness of doctors and nurses in undertaking upper and lower gastrointestinal endoscopy.

    Design Pragmatic trial with Zelen’s randomisation before consent to minimise distortion of existing practice.

    Setting 23 hospitals in the United Kingdom. In six hospitals, nurses undertook both upper and lower gastrointestinal endoscopy, yielding a total of 29 centres.

    Participants 67 doctors and 30 nurses. Of 4964 potentially eligible patients, we randomised 4128 (83%) and recruited 1888 (38%) from July 2002 to June 2003.

    Interventions Diagnostic upper gastrointestinal endoscopy and flexible sigmoidoscopy, undertaken with or without sedation, with the standard preparation, techniques, and protocols of participating hospitals. After referral for either procedure, patients were randomised between doctors and nurses.

    Main outcome measures Gastrointestinal symptom rating questionnaire (primary outcome), gastrointestinal endoscopy satisfaction questionnaire and state-trait anxiety inventory (all analysed by intention to treat); immediate and delayed complications; quality of examination and corresponding report; patients’ preferences for operator; and new diagnoses at one year (all analysed according to who carried out the procedure).

    Results There was no significant difference between groups in outcome at one day, one month, or one year after endoscopy, except that patients were more satisfied with nurses after one day. Nurses were also more thorough than doctors in examining the stomach and oesophagus. While quality of life scores were slightly better in patients the doctor group, this was not statistically significant.

    Conclusions Diagnostic endoscopy can be undertaken safely and effectively by nurses.

    Trial registration International standard RCT 82765705

    Taken from BMJ, 10th February 2009.

    Dr Bitozi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...