Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Goodluck Ole-Medeye (katikati), akiongoza wahitimu wa Mahafali ya 15 ya Chuo cha Uhasibu Arusha (AII) kuelekea kwenye viwanja vya chuo hicho, muda mfupi kabla ya kuwatunuku vyeti kwenye fani mbalimbali mkoani humo mwishoni mwa wiki, wa kwanza ( kushoto) ni Mkuu wa Chuo hicho Prof Johannes Monyo, na Mwenyekiti wa Bodi ya uongozi wa (AII), Mwanaidi Mtanda. 
 Maandamano yakielekea eneo la tukio
 Wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (AII), wakivaa kofia zao muda mfupi baada ya kutunukiwa vyeti vya fani mbalimbali zinazotolewa chuoni hapo, kwenye sherehe za mahafali ya 15 zilizofanyika kwenye viwanja vya chuo hicho mwishoni mwa wiki.  
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...