Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikiongoza kikao cha pamoja kati ya Uongozi wa Shirika la Microsoft na Watendaji wa Mawasiliano, Sayansi na Elimu ya Juu wa SMT Na SMZ kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Waziri Mkuu iliyopo ndani ya jengo la Bunge Mjini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Shirika la Microsoft lenye Makao Makuu yake Mjini Seattle Nchini Marekani Bw. David Tennenhouse wa tatu kutoka kulia aliyevaa miwani akielezea mipango itakayofanywa na shirika lake kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania { Costec }.Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...