Haya ni baadhi tu ya mambo utakayokutana nayo utembeleapo Dar es salaam Zoo kilometa kama 37 baada ya kuvuka ferry ya Kigamboni. Kwa habari zake zaidi BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
mambo ya dar es salaam zoo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mnhhh!!!
ReplyDeleteHiyo Pafyumu ya Ushuzi wa Fungo, hata Michuzi ukinipa US$ 1 Mil. sijipulizii ng'o !
Kwanza itakuwa sio Tohara!
Ohhhooo Perfume hiyo haina Virusi vya mafua ya nguruwe?
ReplyDeleteMasheikh wenye Ilmu zenu wa humu Jamvini nauliza,
ReplyDeleteJe mfano leo Ijumaa nimevaa kanzu nzuri pafyumu hiyo ya ushuzi wa mnyama kama Fungo itaswihi kupulizia ktk Kanzu ya swala?
Hata Perfume 'Chanel No. 5' inasemekana ime contain civet.
ReplyDeleteMdau wa kwanza ukianza kusema haiko 'twahara' kumbuka hata baadhi ya vyakula au madawa tuyatumiayo baadhi yake yame contain kitu kinachoitwa 'gelatin/gelatine' na inasemekana nyingine hupatika toka kwa pigs and other animals pengine hata machinjo yao siyo kwa mujibu wa 'Imani' yako ya kuabudu, sasa hapo imekaaje napo?!