Mdau Mwajuma Adam Mpenda akiwa kwenye Pozi la picha mara baada ya kulamba Nondozz yake ya kwanza ya Ugavi (Bachelor Of Science in Procurement) katika Chuo Kikuu cha Mt. Augustine,Jijini Mwanza hivi karibuni.
Mdau Mwajuma Adam Mpenda akiwa kwenye picha ya pamoja na shost ake,Najda Kabati wakati wa mahafali yao hayo yaliyofanyika hivi karibuni kwenye Chuo Kikuu cha Mt. Augustine,Jijini Mwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...