Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi akisisitiza kwa wadau mikakati ya kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) na vifo vitokanavyo na uzazi wakati akifungua mkutano wa uhamasishaji wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoani Dodoma mapema jana. Kushoto ni kaimu katibu Tawala wa mkoa Dodoma Bw. Felix Mwedipando na kulia ni Mganga Mkuu wa mkoa Dodoma Dr Ezekiel Mpuya.
Baadhi ya wakuu wa wilaya za mkoa wa Dodoma wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zinawasilishwa kwenye mkutano wa uhamasishaji wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoani Dodoma mapema Jana, kutoka Kushoto Mkuu wa wilaya kongwa Alfred Msovela, Mkuu wa wilaya kondoa Omary Kwaangw' Mkuu wa wilaya Bahi Betty Mkwassa na Mkuu wa wilaya Chamwino Fatma Ally.
Wataalam na wadau wa huduma za afya kutoka wilaya za mkoa wa Dodoma wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa mkutano wa uhamasishaji wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoa wa Dodoma. Mkutano huo ulifanyika mapema Jana.
Picha ya pamoja baina ya viongozi wa mkoa na wilaya za Dodoma na wadau wa kutoa huduma za afya mkoani Dodoma muda mfupi baada ya kumalizika kwa mkutano wa uhamasishaji wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoa wa Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...