Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe. Pascal Mabiti akimhakikishia  Mkurugenzi Idara ya Uratibu Ofisi ya Waziri Mkuu Lut Jen (Mst) Sylivester Rioba jinsi mkoa huo utakavyo tekeleza Mpango Wa Kujiandaa Kukabili Maafa katika mkoa wa  Simiyu, wakati wa uzinduzi wa mpango huo jana.
 Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe. Pascal Mabiti akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Bariadi  Mpango Wa Kujiandaa Kukabili Maafa katika wilaya hiyo, wakati wa uzinduzi wa mpango huo  Wilayani Bariad jana (kulia) ni Mkurugenzi Idara ya Uratibu Ofisi ya Waziri Mkuu Lut Jen (Mst) Sylivester Rioba.
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe. Pascal Mabiti (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe kutoka mkoa wa Simiyu mara baada ya uzinduzi  jana Mpango Wa Kujiandaa Kukabili Maafa katika mkoa wa  Simiyu (wan ne toka kushoto) ni Mkurugenzi Idara ya Uratibu Ofisi ya Waziri Mkuu Lut Jen (Mst) Sylivester Rioba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...