MAHALI: 397 EUCLID AVE, OAKLAND CA 94610
AJENDA:
·
KUJADILI UHAI NA MENDELEO YA
TAWI
·
KUJADILI NA KUPEANA MIKAKATI YA
KUFANIKISHA SHEREHE ZA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA KWA CCM- ZITAKAZOFANYIKA HAPA
OAKLAND TAREHE 8 MWEZI WA PILI (FEB 8TH)
·
KUJUANA ZAIDI NA
KUUNGANIKA NA MARAFIKI ZETU WENGINE
AMBAO SI WANACHAMA KATIKA SHUGHULI ZA KUTUNISHA MFUKO,IKIWA NI KUNUNUA
VINYWAJI, VYAKULA MBALIMBALI, NA MINADA YA VITU MBALIMBALI. (BAADA YA 6PM)
WOTE MNAKARIBISHWA,NA PIA TUTAGAWA KADI
KWAWANACHAMA WAPYA.
KAMA UNATAKA KUBURUDIKA NA WEWE SIO
MWANACHAMA BADO UNAKARIBISHWA BAADA YA MKUTANO WETU TUUNGANE PAMOJA KWA
MAONGEZI YA KAWAIDA KAMA WATANZANIA.
IMETOLEWA NA:
ERICK BYORWANGO-KATIBU WA TAWI.
(510-5205995)
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...