Ujumbe kutoka Tanzania ulioshiriki kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Shirika la Biashara la Dunia (WTO) uliofanyika mjini Bali, Indonesia kuanzia tarehe 3 – 6 Desemba, 2013 ukiongozwa na Mhe. Dkt Abdallah O. Kigoda (Mb), Waziri wa Viwanda na Biashara.
 Mheshimiwa Dkt. Abdallah O. Kigoda (Mb.), Waziri wa Viwanda na Biashara akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Biashara wa Misri Mhe Mounir ABDEL NOUR na ujumbe wake walipokutana katika Mkutano wa Shirika la Biashara la Dunia (WTO) uliofanyika mjini Bali, Indonesia hivi karibuni.
 Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Abdallah O. Kigoda (Mb) akijadiliana jambo na Ndg. Lucas Saronga, Mkurugenzi wa Idara ya Utangamano wa Biashara Wizara ya Viwanda na Biashara kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Shirika la Biashara la Dunia uliofanyika mjini Bali, Indonesia kuanzia tarehe 3 – 6 Desemba, 2013
 Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Abdallah O. Kigoda (Mb) akijadiliana jambo na Waziri wa Biashara na Uwekezaji wa Finland  Mhe Alexander STUBB kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Shirika la Biashara la Dunia uliofanyika mjini Bali, Indonesia kuanzia tarehe 3 – 6 Desemba, 2013. Mwingine ni Ndg. Lucas Saronga, Mkurugenzi wa Idara ya Utangamano wa Biashara Wizara ya Viwanda na Biashara Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...