Mwenyekiti wa CCM Kata ya Jangwani Ndg. Mohamed Bawazir katikati akizungumza wakati wa kufungua kikao cha kujadili na kutafutia ufumbuzi kero mbalimbali zinazowakabiri katika kata hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Ilala Ndg. Asaa Simba ambaye pia ni Diwani wa Vingunguti na kulia ni katibu wa kata ya jangwani, Ndg. Majala Balawa. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Home
Unlabelled
MKUTANO WA WANA CCM KATA YA JANGWANI JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...