Mwenyekiti wa CCM  Kata ya Jangwani  Ndg. Mohamed Bawazir katikati akizungumza wakati wa kufungua kikao cha kujadili na kutafutia ufumbuzi kero  mbalimbali zinazowakabiri katika kata hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Ilala  Ndg. Asaa Simba ambaye pia ni Diwani wa Vingunguti na kulia  ni katibu wa kata ya jangwani, Ndg. Majala Balawa.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...