Taswira Kwa niaba ya watanzania na Wakenya Luton Uingereza na kwa kushirikiana na Wenzetu wa Uganda, Burundi na Rwanda kama wana Jumuiya Afrika Mashariki katika sherehe za uhuru wa Tanzania na kenya zilizofanyika hapa Luton Jumamosi tarehe 14/12/13
“DJ DOUBLE T” MKONGWE
WA MUZIKI WA TZ , EAST AFRICA, AFRICA NA NGOMA KALI ZA MAGHARIBI HAPA UINGEREZA
AKICHANGANYA BEATS NA KATIBU WA LUTON TANAZANIAN COMMUNITY NDUGU ABRAHAM
SANGIWA KATIKA SHEREHE ZA UHURU TANZANIA (52YRS) PAMOJA NA KENYAN(50YRS) HAPA
UK.
DJ DOUBLE T AKIKONGA NYOYO ZA WANA EAST AFRICA
WADAU WA EAST AFRICA KWENYE MNUSO WAO
DJ KAZINI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...