Bondia Mohamed Matumla (kushoto) akipambana na Bondia Nassibu Ramadhani wakati wa mpambano wao wa kugombania pikipiki yenye thamani ya shilingi milioni 1.9. |
Bondia Hamis Ajari (kushoto) akipambana na Cosmas Cheka wakati wa mpambano wao uliofanyika wakati wa sikukuu ya krismas.Cheka alishinda kwa point. |
Baadhi ya mashabiki waliouhulia mpambano huo uliokuwa mkali na wakuvutia.Picha na Super D Blog. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...