Bondia Mohamed Matumla (kushoto) akimwadhibu Bondia Nassibu Ramadhani wakati wa mpambano wao wa raundi kumi uliofanyika usiku wa sikukuu ya krismas na kugombania pikipiki yenye thamani ya shilingi milioni 1.9. Matumla alishinda kwa pointi mpambano huo na kuibuka na bodaboda hiyo.
Bondia Mohamed Matumla (kushoto) akipambana na Bondia Nassibu Ramadhani wakati wa mpambano wao wa kugombania pikipiki yenye thamani ya shilingi milioni 1.9.
Kwa upande wa Masumbwi ya kina Dada,Bondia Lulu Kayage (kushoto) akipambana na Bondia mwenzake Mariam Abdallah wakati wa mpambano wao wa kusherehekea sikukuu ya krismas.Bondia Lulu Kayage alishinda kwa KO.
Bondia Hamis Ajari (kushoto) akipambana na Cosmas Cheka wakati wa mpambano wao uliofanyika wakati wa sikukuu ya krismas.Cheka alishinda kwa point.
Baadhi ya mashabiki waliouhulia mpambano huo uliokuwa mkali na wakuvutia.Picha na Super D Blog.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...