Meya wa  wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda akionyesha simu za mkononi zitakazo tumika kuchangisha fedha kwa ajili ya   Mpango maalumu wa kuchangia wanafunzi wenye ulemavu katika Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam baada ya kuuzindua rasmi. Mitandao ya simu itakayotumika  ni M-Pesa namba 0768727314 na Tigo Pesa namba 0712200022.

 Wanafunzi wenye Ulemavu wa kusikia(viziwi)pamoja na walimu wao wakiimba wimbo wa Taifa kwa kutumia lugha ya alama wakati wa uzinduzi Mpango  maalumu wa kuchangia wanafunzi wenye ulemavu katika Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam. Mitandao ya simu itakayotumika  ni M-Pesa namba 0768727314 na Tigo Pesa namba
 Meya wa  wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda akizungumza kwenye uzinduzi  Mpango maalumu wa kuchangia wanafunzi wenye ulemavu katika Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Elimu Manispaa ya hiyo, Hussein Ramadhani na Mganga Mkuu wa Manispaa hiyo aliye mwakilisha Mkurugenzi…. Mitandao ya simu itakayotumika  ni M-Pesa namba 0768727314 na Tigo Pesa namba
 Mwenyekiti wa Vitengo vya Elimu Maalum katika Manispaa ya Kinondoni,Lessly Nyambo akizungumza kwenye uzinduzi  Mpango Maalumu wa kuchangia wanafunzi wenye ulemavu katika Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...