Familia ya marehemu Mrs.HELLENA JONH MNGUTO (pichani) inapenda kuwaalika ndugu jamaa na marafiki katika misa ya kumbukumbu ya mama yao mpendwa Mrs,HELLENA JONH MNGUTO itakayo fanyika nyumbani kwa marehemu NGUVUMALI, Tanga, tarehe 21/12/2013 saa nne asubuhi.
Misa hii itafuatiwa na ibada ya kumuombea marehemu itakayo fanyika kesho yake tarehe 22/12/2013 katika kanisa la ANGILIKANA NGUVUMALI, huko Tanga.Ukiwa ni mwaka mmoja tangu umetutoka mama yetu mpendwa sisi wanao ndugu na wanafamilia wote bado tuna simanzi kubwa na masikitiko kwa kuukosa upendo na ukalimu wako kwetu kwani ulitulea vema kwa kutufunza tabia njema.
Amen
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...