Mgeni rasmi katika siku ya ufungaji wa kambi ya watoto iliyofanyika mjini Moshi naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii ,Dk Seif Rashid akimlisha keki mmoja wa watoto waliokuwa katika kambi hiyo kutoka mikoa ya Shinyanga,Simiyu na Geita.
Mgeni rasmi katika siku ya ufungaji wa kambi ya watoto iliyofanyika mjini Moshi ,naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii ,Dk Seif Rashid akitoa zawadi ya vifaa vya shule kwa mmoja wa watoto walioshiriki kambi hiyo kutoka mikoa ya Shinyanga,Simiyu na Geita.
Naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii ,Dk Seif Rashid akitoa hotuba yake kwa watoto walioshiriki kambi hiyo kutoka mikoa ya Shinyanga,Simiyu na Geita.
Naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii ,Dk Seif Rashid akiwa katika picha ya pamoja na watoto pamoja na walezi wao.
Naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii,Dk Seif Rashid akicheza na watoto wakati wa kufunga kambi ya watoto iliyofanyika Uhuru hotel mjini Moshi. Picha zote na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...