Mwezeshaji kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu wa Maafa, Bi. Naima Mrisho akifafanua utekelezaji wa Mpango Wa Kujiandaa Kukabili Maafa katika mkoa wa Shinyanga, leo.
Baadhi ya Wawezeshaji wa mafunzo ya Mpango wa kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga kutoka ofisi ya Waziri Mkuu- Idara ya Uratibu wa Maafa, wakifuatilia mafunzo hayo yanayoendelea mkoani Shinyanga leo, (wa kwanza) ni Mhandisi, Fanuel Karugendo na (wa pili) Mchumi, Magreth Sembuyagi. 
Baadhi ya Washiriki kutoka vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Shinyanga wakifuatilia mafunzo ya Mpango wa kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga leo, (wa kwanza) ni Kaimu Kamanda kikosi 516 KJ, Gabriel Nzunda na (wa pili) ni Mkuu wa Polisi wa Wilaya Shinyanga, Richard Ngede.(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...