Mwezeshaji kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu wa Maafa, Bi. Naima Mrisho
akifafanua utekelezaji wa Mpango Wa Kujiandaa Kukabili Maafa katika mkoa wa
Shinyanga, leo.
Baadhi ya Wawezeshaji wa mafunzo ya Mpango wa kujiandaa kukabili Maafa Mkoani
Shinyanga kutoka ofisi ya Waziri Mkuu- Idara ya Uratibu wa Maafa, wakifuatilia
mafunzo hayo yanayoendelea mkoani Shinyanga leo, (wa kwanza) ni Mhandisi, Fanuel
Karugendo na (wa pili) Mchumi, Magreth Sembuyagi.
Baadhi ya Washiriki kutoka vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Shinyanga
wakifuatilia mafunzo ya Mpango wa kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga leo,
(wa kwanza) ni Kaimu Kamanda kikosi 516 KJ, Gabriel Nzunda na (wa pili) ni Mkuu wa
Polisi wa Wilaya Shinyanga, Richard Ngede.(Picha zote na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Poa Van Karugendo!
ReplyDelete