Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mh. Ally Nassoro Rufunga akisisitiza juu ya utekelezaji wa Mpango wa Kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga wakati alikiuzindua mpango huo leo Mjini Shinyanga kushoto ni Mkurugenzi Idara ya Uratibu Ofisi ya Waziri Mkuu Lut Jen (Mst) Sylivester Rioba.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mh. Ally Nassoro Rufunga akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Bi. Annarose Nyambi Mpango wa Kujiandaa kukabili Maafa Wilayani Shinyanga baada ya uzinduzi wa mpango huo leo Mjini Shinyanga kushoto .
Baadhi ya wajumbe kutoka Wilaya za mkoa wa Shinyanga wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mh. Ally Nassoro Rufunga(wa pili kushoto), baada ya uzinduzi wa Mpango wa Kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga leo, (wa tatu kushoto) ni Mkurugenzi Idara ya Uratibu Ofisi ya Waziri Mkuu, Lut Jen (Mst) Sylivester Rioba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...