Wachezaji wa timu ya Segerea Veterans Sports Club baada ya kushinda fainali hiyo walielekea meza kuu ilipokuwa picha ya mchezaji mwenzao marehemu Jacob Arid kwa jina maarufu Oming'o na kumwombea mungu ampumzishe mahali pema.
 Hapa ni furaha  kwa timu ya Segerea Veterans Sports Club baada ya kuchukua ubingwa
Mmoja wa mashabiki wa timu ya Segerea Veterans Sports Club akiwa amebeba picha ya marehemu Jacob Arid kwa jina maarufu Oming'o baada ya kumalizika kwa bonanza hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...