Mwandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima,Sitta Tumma akionja bia kwenye shindano la kuonja bia lililoandaliwa katika Kiwanda cha Bia cha TBL Mwanza juzi.

 Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kuendesha zoezi la kuonja bia katika Kiwanda cha Bia cha TBL Mwanza juzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kila la heri ila naamini mngeweza kupata mtaalamu mzuri wa VAT hapo inaonekana kama umewazidishia ndugu wa TRA TZS 5,421,440.32 kwasababu ongezeko hilo la millioni 422 limekuja kwa gharama ya TZS 35,540,553.22 ambayo ni jumla ya (7,488,000 na 28,052,533.22) kwahiyo watafuteni wahasibu waliokomaa sio wanakubali tu kuchukua total kama walivyofanaya hapo TZS 422,611,000 /1.18*0.18 wakapata TZ 64,466,084.75 ukalipa kodi na mapato yakawa TZS 358,144,915.25 baada ya VAT

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...