Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. ? TahadhaLI

    ReplyDelete
  2. L na R ni tatizo kubwa sana hasa kwa vijana wengi chini ya miaka 30 na inatuondolea ladha sisi wapenzi wa kiswahili. Kwa hakika kuchanganya tu huko kwa R na L hutosheleza mimi kubadili idhaa ya radio au tv inayofanya uharibiu.

    sesophy

    ReplyDelete
  3. Muheshimiwa hapo juu nadhani hii itakuwa ni makosa ya kiuandishi yaani "typographical error" na siyo makusudi ya mwandishi (why?) kwavile japo kichwa cha habari kimekosewa kwa kuandika "tahadhali" lakini neno hilohilo katika "content" limeandikwa kwa usahihi kabisa "tahadhari"

    Lakini ukitaka twende mbali zaidi, utagundua hata wewe mwenyewe muheshimiwa huko vizuri kwenye kiswahili maana umeandika, na hapa nakunukuu: "....radio au tv inayofanya uharibiu"
    mwisho wa kuku-nukuu!.....sasa neno "uharibiu" kama ulivyoandika hapo nasikitika kusema kuwa halipo kabisa kwenye kiswahili ninachikijua mimi (vinginevyo labda iwe ni msamiati mpya)....au tuseme pia kwako hii ni "typographical error" huenda (japo hatuna uhakika) au labda ulitaka kuandika neno "uharibifu"

    Ila hii inatosha wakati fulani kukubali kuwa kitu inaitwa "human error" ipo - yaani ukiwa unaongea inaweza kuitwa "tongue slip" sasa ukiwa unaandika siku za leo (uki-assume wengi tuna-type kwa kutumia keyboard au tekinolojia inayofanana na hiyo) basi wanaita "mouse slip" - japokuwa siyo kila kinachoitwa "ku-type" kinahusisha moja kwa moja "mouse" _ ni mtazamo tu!

    ReplyDelete
  4. Haya tusubiri busara za aliye elimishwa......atajibu?atakubali kwamba si kutofahamu kiswahili kwa mwandishi????

    ReplyDelete
  5. waandidshi wa habari wengi hasa katika gazeti la mwananchi hata mabosi wao hawawasahihishi. Hawa ndio wanaongoza. Kuna mwanahabari mmoja wa ITV anaitwa Chacha yaani anakirihisha ukimsikiliza. Ladha ya habari inaondoka kabisa. Hebu jamani kabla hawajasoma habari hawa wapewe majaribio Mtu badala ya Lorry yeye anageuza Rolly, ajari, leri, luhusa, barozi, ledio, laisi. Mtu akichukua uandishi wa habri si lazima awe amefaulu lugha za Kiingereza na Kiswahili.

    ReplyDelete
  6. Kumbe sote hatujui kiswahili. Hata muelimishaji kakosea pia badala ya kuandika' kiswahili ninachokijue mimi' ameandika kiswahili ninachikijua mimi'

    Wooote hawa ni ktk kukosea tu ila kiswahili wote wanakijua

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...