Ankal salaam. 
 Kama ujuavyo, msimu huu ni msimu wa sikukuu ambapo wenzetu Wachagga hupendelea sana kwenda kwao kusheherekea sikukuu hiyo pamoja na ndugu na jamaa waliopo huko vijijini. 
 Nimetumiwa baadhi ya picha na rafiki yangu mmoja ambaye hivi sasa yuko kwao huko Rombo Kilimanjaro kwa ajili ya sikukuu.  Hakika ni taswira za kupendeza sana. 
 Tafadhali ukipata nafasi ziweke kwenye blog yetu ya jamii  ili Watanzania wengine waweze kuona sababu mojawapo ya hawa jamaa zetu kupenda sana kwenda kwao mwisho wa mwaka....... Ni pamoja na kufaidi mazingira yenye taswira mwanana kama hivyo.
Mdau Rombo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...