Balozi Phikllip Marmo (kulia) akiwa amepokelewa katika ukumbi wa Watu mashuhuri(VIP) katika Uwanja wa ndege wa Tigel jijini Berlin.alippowasili  kutoka Dar es salam kufuatia uteuzi wake kuwa Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani. Kushoto ni Balozi Osinde wa Kenya, katikati ni Balozi Gertze wa Namibia. Alipokelewa pia na Maafisa kutoka Ubalozi wa Tanzania, Berlin ambao hawapo katika picha. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...