Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya TCRA ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi, Injinia Magreth Munyagi amesema lengo la warsha hiyo ni kuwakumbusha watangazaji kuhusu kufuata maudhui yaliyokusudiwa yanayoelimisha na kuburudisha jamii na kuwa chachu ya maendeleo ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Kushoto ni Mgeni rasmi wa Warsha hiyo, Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Mbeya, Leonard Magacha, na kulia ni mjumbe wa Bodi ya TCRA, Bw. Joseph Mapunda

Mgeni rasmi wa Warsha hiyo, Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Mbeya, Leonard Magacha ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro amesema kukiuka kwa maadili katika baadhi ya vituo vya utangazaji kunatokana na wamiliki kuwaajiri wafanyakazi wasiokuwa na taaluma ya Utangazaji. Kushoto ni mjumbe wa Bodi ya TCRA Bw. Walter Bgoya.


Wanahabari wakiwa katika warsha hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...