Ofisa Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Vodacom Hassan Saleh akimlaki Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Halima Kihemba wakati akiwasili kwenye hafla ya uzinduzi wa duka jipya la huduma kwa wateja la kampuni hiyo lililopo Maili Moja Mjini Kibaha. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim. Duka hilo linatoa huduma zote za mtandao wa Vodacom ikiwemo usajili wa laini, sim swap, M-pesa pamoja na mauzo ya simu na modem.
Kutoka Kushoto Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Halima Kihemba, Mkuu wa Moa wa Pwani Mwantumu Mahiza , Ofisa Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Hassan Saleh, Diwani wa Kata ya Maili Moja,Andrew Lugano na Mkuu wa Usimamizi wa Maduka ya Vodacom Upendo Richard kwa pamoja wakigongesha glass mara baada ya kuzinduliwa kwa duka la Vodacom lililopo Maili Moja Kibaha.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza,(wapili kushoto)akiongea mara baada ya kuzindua duka jipya la Vodacom lililopo Maili Moja Kibaha.Wakwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Halima Kihemba na Ofisa Mkuu wa Mauzo na usambazaji wa kampuni hiyo,Hassan Saleh(watatu kulia).
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza (katikati), Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Halima Kihemba kushoto na Ofisa Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Hassan Saleh wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Vodacom na watumishi wa duka jipya la Vodacom Kibaha mara baada ya kuzinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa
Maandalizi ya kuweka sawa mazingira tayari kwa uzinduzi rasmi wa duka jipya la Vodacom lililopo Maili Moja Kibaha. Duka hizlo limezinduliwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...